Search

593 results for Fortune Francis :

  1. Familia ya Zuchy yaeleza ndoto aliyokuwa nayo ndugu yao, ratiba ya mazishi

    Amesema Mwingira mbali na kuajiriwa kwa zaidi ya miaka saba alikuwa akijishughulisha na ujasiriamali kwa kusambaza bidhaa za ngozi (vipodozi).

  2. Polisi yaita wenye taarifa kuhusu kifo cha Zuchy

    Katika ajali hiyo, dereva bodaboda ambaye jina bado halijafahamika alijeruhiwa na kupelekwa hospitalini. Ajali hiyo imeibua mijadala mitandaoni ikiwemo lawama kwa Jeshi la Polisi ikidaiwa kuwa...

  3. Mbowe asisitiza muungano wa Serikali tatu

    Amesema Watanzania lazima wasimame wadai mabadiliko ili kuondokana na changamoto za maisha, huku akidai kilio cha maisha magumu hivi sasa kiko kila sehemu nchini.

  4. ‘Uhusiano na mawasiliano kada muhimu za maendeleo’

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amewataka maofisa uhusiano na mawasiliano kuwa wabunifu na kutumia teknolojia itakayoongeza ufanisi

  5. PRIME TMA yatoa angalizo la mvua mikoa mitano

    Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa inayoweza kujitokeza kwa siku tano na kuathiri shughuli mbalimbali za kiuchumi. Taarifa iliyotolewa...

  6. VIDEO: Adha ya daraja inavyowatesa wakazi Pwani, Dar

    Daraja hilo linategemewa hasa na wananchi wa kata ya Pangani ambao hununua mahitaji yao upande wa Kibwegere jijini Dar es Salaam.

  7. Polisi: Tutaowakamata kesho wenye namba 3D, kuwafikisha mahakamani

    "Operesheni inaendelea na kuanzia kesho atakayekamatwa atapelekwa mahabusu na Jumatatu kupelekwa mahakamani, kutengeneza namba hakuchukui muda kinachoonekana ni ukaidi," amesema Kamanda Nga’nzi.

  8. Polisi waanza msako kung’oa namba za 3D kwenye magari

    Wamiliki watakaoendelea kukaidi wataandikiwa faini ya Sh30,000 na hatua nyingine za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

  9. Mufti ataja mchango wa Mzee Mwinyi Bakwata

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limetaja mambo makubwa matano aliyoyafanya hayati Ali Hassan Mwinyi kama mchango wake kwa baraza hilo, wakati wa Dua maalum ya kumuombea leo.

  10. Bakwata kumwandalia dua maalumu Mzee Mwinyi

    Pia, amewataka wafanyabiashara kutovunja maadili wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, unaotajia kuanza karibuni

Page 1 of 60

Next